Friday, July 27, 2018
Kamati ya Maadili Yamfungulia Kifungo Abajallo na Kumpa Onyo Kali
Kamati ya Maadili Yamfungulia Kifungo Abajallo na Kumpa Onyo Kali
Kamati ya Rufaa ya Maadili imeitupilia mbali rufaa ya Dustan Mkundi Ditopile na kuiagiza Sekretariati kulipeleka suala kake katia vyombo vya ulinzi kwa uchunguzi zaidi.
Dustan alifungiwa kutokana na kuwasilisha fomu ya mapato tofauti na fomu halisi ya Bodi ya Ligi.
Wakati huohuo Mwenyekiti wa Abajalo FC na mjumbe wa Bodi ya Ligi alikiri kutoa maneno makali mbele ya vyombo vya habari akiwa kama kiongozi.
Kutokana na kukiri kwake, Kamati imemfungulia kifungo cha kutojihusisha na soka Edgar Chibula na kumpa onyo kali.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.